Rais Magufuli Awaapisha Wakuu wa Mikoa


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hafla hiyo fupi ya kuwaapisha Wakuu hao wa Mikoa imefanyika leo Ikulu,jijini Dar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali. 

17Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Raphael Mugoya Muhuga  kuwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi.14Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna Mwandamizi Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Zelote Steven Zelote kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.

13 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Mh. Anne Kilango Malecela kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. 15  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam.18Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Elias Kyunga kuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita. 19
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Emmanuel Edward Maganga kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.
25Wakuu wa Mikoa wakitia Saini hati kiapo cha Maadili ya viongozi wa  Umma leo mara baada kuapishwa Ikulu jijini Dar na Rais Dkt John Pombe Magufuli.
OTH_3879 OTH_3887 OTH_3891 OTH_3905 OTH_3917 OTH_3936 OTH_4054
PICHA NA IKULU
Rais Magufuli Awaapisha Wakuu wa Mikoa Rating: 4.5 Diposkan Oleh: Admin