Nimetembea na mke wa boss na kapata ujauzito.


Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu.  

Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia, kuna siku tulisafiri kwenda Mtwara kwenye biashara za huyu mama, kufika kule yule mama alilipia chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote na nikikataa ndiyo itakuwa mwisho wa ajira yangu nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara, sikuwa na jinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo na kiukweli mshahara niliongezewa.

Sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndiyo mwenye huo mzigo ila akanishauri niuchune kwa sababu mumewe anajua kwamba mkewe ni mjamzito.

SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANAFANANA NA MIMI ITAKUWAJE?
NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.

Naomba ushauri waungwana.
Nimetembea na mke wa boss na kapata ujauzito. Rating: 4.5 Diposkan Oleh: Admin