Ushauri: Nilizaa na dada yangu, Je nitapata laana?



Mpekuzi habari za kuhaingaika, 

Kwetu tumezaliwa wawili tu mapacha , Mimi na Dada yangu, baba yetu alikua mkali na mkoloni sana hatukuruhusiwa kutoka nje kabisa labda shule tu na tulienda na Gari la nyumbani Tulikua tukiishi mkoani na ilikua ni mwishoni mwa miaka ya tisini Tukiwa form six, nadhan tulikua tumefunga shule tukiwa home, Dada yangu aliletewa mkanda Wa kikubwa na Rafiki yake baada ya Rafiki kuondoka tukawa tunauangalia sielewi ni nini kilitupata tukajikuta tumezini, mm kwangu ilikua ni Mara ya kwanza ila nadhan mwenzangu alikua tayari keshafanya huko nyuma Ikawa kila siku tunafanya wazazi wakiondoka. 

Kuja kustuka haoni siku zake akamwambia mama naye akamwambia baba Sijui niwaeleza lugha gani muweze kuelewa kilichotokea Ilikua ni mtiti akaambiwa aeleze ni nani aliempa mimba akawa anasingizia wanafunzi wenzie shuleni, wakifika shule anababaika anashindwa kutaja basi akafukuzwa shule hata mtihani Wa mwisho hakufanya Wakati hilo halijaisha biashara za Mzee zikaanza kuyumba vibaya vibaya na alikua na deni kubwa sana benki wakaja kuuza nyumba tunayokaa bado haikutosha Nyumba tuliyohamia ikapigwa mnada pia Mzee akapata stroke, tukaanza kuhangaika nae kila hospital, Mtihani Wa mwisho ulipofika sikuweza kufanya kitu nilikua naangalia tu makaratasi maana tulitoka maisha ya juu ghafla tukaporomoka hadi chini ndani ya miezi 9-12. 

Mzee akawa amefariki tukaenda kuzika kijijini Hakukua na chochote kilichobaki mjini si nyumba nini Tumezika kama Leo wiki moja mbele Dada akajifungua mapacha Wa kiume kama sisi tulivyo mapacha Baada ya ndugu kutawanyika na miezi minne kupita tukiwa bado kijijni maana tulipanga tuishi huko huko mjini hatukua na chochote mama aliniita akaniambia niende mjini nikaangalie matokeo yangu ndipo tunaweza kupanga tufanye nn Matokeo yalikua mabaya Usiku mmoja mama na babu wakaniita babu akaniambia chukua hawa ngombe ukauze wote utuachie watano tu Hii ndio mali pekee Mzee wako alioacha, walikua ngombe 200 Nikapewa baba zangu wadogo tukaenda mnadani tukauza nikapata pesa nyingi mno Nikaja dar kutafuta maisha na kiasi hicho cha pesa 

Nikawa nanunua ngombe mkoani naleta dar hadi mtaji ukaongezeka mara tatu Nikafungua biashara zingine na nikanunua kiwanja boko na nikajenga Nikarudi kijijini nikamchukua Dada yangu na watoto had I mkoani wakiwa na miaka mitano nikampangia nyumba na kumfungulia biashara lengo ni watoto waanze la kwanza hivyo walitakiwa maandalizi ya nursery Mama tulimwacha kijijini alikataa kabisa kuja mjini Siku moja tuliagiza pombe walau tusherehekee mafanikio maana hatukumini kama tungefika hapo Baada ya kunywa sana nikaona nikalale akanifuata chumbani na kuanza romance nikamzuia nikamwambia hatupaswi kurudia kosa hili, tushukuru huenda ni mpango Wa mungu Mzee kufariki kabla hajajua mm ndio nilikupa mimba Na bado hatujui siku mama akijua itakuaje Akaniambia yeye hataki mwanaume mwingine zadi yangu na kwamba ananipenda mm tu Nakuja kustuka hivi na boxer na vest ameshavitoa huku akiendelea na zoezi moyo wangu ulishakataa ila mwili ukawa dhaif tukawa tumezini.  

Tangu hapo huwa anakuja dar tunafanya nashindwa kuresist ile pressure Nikapata msichana mmoja dar alipokuja dar akatukuta nae kwangu alifanya fujo na kumpiga vibaya yule binti hadi majirani wakaniambia kumbe ulishaoa husemi, mi nashindwa kuwajibu Nikapata demu mwingine Dada yangu alipokuja akakagua simu akaona SMS za mapenzi akampigia akamtukana sana akamwambia yule demu eti nimeoa na nna watoto wawili demu akakimbia kimoja Nimepata Dada mmoja Wa benki tunapendana sana na tumepanga kuishi pamoja lakini kikwazo ni Dada yangu Akigundua tu ni balaa Sijui nimwambie huyu banker in advance kuhusu ili tatizo? Marafiki naombeni ushauri Maana mama mwenyewe anataka nioe nitulie 

Dada anasema nisijidanganye kuoa ni kazi bure Nikimwambia tafuta mtu wako na wewe uolewe hanielewi.  

Nifanye nini? Naogopa laana, naomba mnishauri
Ushauri: Nilizaa na dada yangu, Je nitapata laana? Rating: 4.5 Diposkan Oleh: Unknown